
Aliyekuwa shabiki maarufu wa Yanga, Ally Said amezikwa leo kwao mjini Shinyanga.
Shabiki huyo alikuwa maarufu kwa
kujipaka masizi na kuweka kitambi cha bandia pale alipokuwa uwanjani
akiishangilia Yanga na wakati mwingine timu za taifa.

Ally maarufu kama Ally Yanga alifariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Mpwapwa, Dodoma, juzi.





0 comments:
Post a Comment
AHSANTE KWA KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZETU PIA KUJITANGAZA NASI IWAPO UNAHABARI AMA TANGAZO WASILIANA NASI 0754 026299 Email . fgodwin94@gmail.com , ANGALIZO KUMBUKA KILA MMOJA ANA MTAZAMO WAKE HIVYO TUMIA LUGHA NZURI KATIKA KUTOA MAONI YAKO IWAPO UTASHINDWA BASI NI HERI USITOE MAONI SI LAZIMA ILI KUEPUSHA MAKWAZO KWA MWINGINE